MEGA.Bible Tafuta
Kiswahili

1 Samweli 18:23

Watumishi wa Sauli wakarudia hayo maneno kwa Daudi. Lakini Daudi akasema, “Je, mnafikiri ni jambo dogo kuwa mkwewe mfalme? Mimi ni mtu maskini tu, na nisiyejulikana sana.”

Soma katika muktadha

1 Samweli 18:23 katika ulimwengu halisi

Pachika mstari huu

Nakili HTML hii kwenye tovuti yako — matumizi huru, bila funguo, bila kufuatiliwa. Ongeza ?theme=light au ?theme=dark kwenye anwani ili ilingane na ukurasa wako.

<iframe src="https://mega.bible/embed/verse/biblia-takatifu/1sa/18/23" width="100%" height="180" style="border:0" loading="lazy" title="1 Samweli 18:23 — MEGA.Bible"></iframe>