MEGA.Bible Tafuta
Kiswahili

1 Samweli 17:40

Kisha akachukua fimbo yake mkononi, akachagua mawe laini matano katika kijito, akayaweka kwenye kifuko ndani ya mfuko wake wa kichungaji, akiwa na kombeo yake mkononi mwake, akamkaribia yule Mfilisti.

Soma katika muktadha

1 Samweli 17:40 katika ulimwengu halisi

Pachika mstari huu

Nakili HTML hii kwenye tovuti yako — matumizi huru, bila funguo, bila kufuatiliwa. Ongeza ?theme=light au ?theme=dark kwenye anwani ili ilingane na ukurasa wako.

<iframe src="https://mega.bible/embed/verse/biblia-takatifu/1sa/17/40" width="100%" height="180" style="border:0" loading="lazy" title="1 Samweli 17:40 — MEGA.Bible"></iframe>