1 Samweli 17:39
Daudi akajifunga upanga juu ya hayo mavazi na kujaribu kutembea kwa sababu alikuwa hana uzoefu navyo. Daudi akamwambia Sauli, “Siwezi kwenda nikiwa nimevaa hivi, kwa sababu sina uzoefu navyo.” Hivyo akavivua.Mstari huu katika ulimwengu halisi
Kwa maneno gani
- מַדmadproperly, extent, i.e. height; also a measure; by implication, a vesture (as measured); al
- יָאַלyâʼalproperly, to yield, especially assent; hence (pos.) to undertake as an act of volition
- נָסָהnâçâhto test; by implication, to attempt
- חָגַרchâgarto gird on (as a belt, armor, etc.)
- יָכֹלyâkôlto be able, literally (can, could) or morally (may, might)
- סוּרçûwrto turn off (literal or figurative)
- חֶרֶבcherebdrought; also a cutting instrument (from its destructive effect), as a knife, sword, or ot
- שָׁאוּלShâʼûwlShaul, the name of an Edomite and two Israelites
+maneno 3 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.