1 Samweli 17:28
Eliabu nduguye mkubwa Daudi alipomsikia akizungumza na watu hasira ikawaka juu yake akamuuliza, “Kwa nini umeteremka kuja hapa? Nao wale kondoo wachache kule nyikani umewaacha na nani? Ninajua jinsi ulivyo na kiburi na jinsi moyo wako ulivyo mwovu; umekuja hapa kutazama vita tu.”1 Samweli 17:28 katika ulimwengu halisi
Kwa maneno gani
- זָדוֹןzâdôwnarrogance
- רֹעַrôaʻbadness (as marring), physically or morally
- אֱלִיאָבʼĔlîyʼâbEliab, the name of six Israelites
- הֵנָּהhênnâhthemselves (often used emphatic for the copula, also in indirect relation)
- נָטַשׁnâṭashproperly, to pound, i.e. smite; by implication (as if beating out, and thus expanding) to
- חָרָהchârâhto glow or grow warm; figuratively (usually) to blaze up, of anger, zeal, jealousy
- מְעַטmᵉʻaṭa little or few (often adverbial or compar.)
- לֵבָבlêbâbthe heart (as the most interior organ);
+maneno 14 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.