1 Samweli 11:2
Lakini Nahashi yule Mwamoni akajibu, “Nitafanya mkataba na ninyi tu kwa sharti kwamba nitang’oa jicho la kulia la kila mmoja wenu, na hivyo kuleta aibu juu ya Israeli yote.”Mstari huu katika ulimwengu halisi
Lini
Nani
Kwa maneno gani
- נָקַרnâqarto bore (penetrate, quarry)
- נָחָשׁNâchâshNachash, the name of two persons apparently non-Israelite
- עַמּוֹנִיʻAmmôwnîyan Ammonite or (the adjective) Ammonitish
- זֹאתzôʼththis (often used adverb)
- חֶרְפָּהcherpâhcontumely, disgrace, the pudenda
- יָמִיןyâmîynthe right hand or side (leg, eye) of a person or other object (as the stronger and more de
- כָּרַתkârathto cut (off, down or asunder); by implication, to destroy or consume; specifically, to cov
- שׂוּםsûwmto put (used in a great variety of applications, literal, figurative, inferentially, and e
+maneno 3 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.