1 Wafalme 3:6
Sulemani akajibu, “Umemfanyia mtumishi wako, baba yangu Daudi, fadhili nyingi, kwa kuwa alikuwa mwaminifu kwako na mwenye haki, tena mnyofu wa moyo. Nawe umemzidishia fadhili hii kuu kwani umempa mwana wa kuketi kwenye kiti chake cha ufalme, kama ilivyo leo.1 Wafalme 3:6 katika ulimwengu halisi
Lini
Kwa maneno gani
- יִשְׁרָהyishrâhrectitude
- אֶמֶתʼemethstability; (figuratively) certainty, truth, trustworthiness
- כִּסֵּאkiççêʼproperly, covered, i.e. a throne (as canopied)
- צְדָקָהtsᵉdâqâhrightness (abstractly), subjectively (rectitude), objectively (justice), morally (virtue)
- לֵבָבlêbâbthe heart (as the most interior organ);
- חֵסֵדchêçêdkindness; by implication (towards God) piety; rarely (by opposition) reproof, or (subject.
- שְׁלֹמֹהShᵉlômôhShelomah, David's successor
- שָׁמַרshâmarproperly, to hedge about (as with thorns), i.e. guard; generally, to protect, attend to, e
+maneno 12 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.
Marejeleo mtambuka
1Ki 9:4, 1Ki 1:48, 1Ki 2:4, 2Co 9:11, 2Sa 7:8–12, 2Co 9:5, Psa 119:17, Psa 15:2