1 Wafalme 3:1
Sulemani akafanya mapatano na Mfalme Farao wa Misri na akamwoa binti yake. Akamleta huyo binti Farao katika Mji wa Daudi hadi alipomaliza kujenga jumba lake la kifalme na Hekalu la Mwenyezi Mungu, pamoja na ukuta kuzunguka Yerusalemu.1 Wafalme 3:1 katika ulimwengu halisi
Lini
Kwa maneno gani
- חָתַןchâthanto give (a daughter) away in marriage; hence (generally) to contract affinity by marriage
- חוֹמָהchôwmâha wall of protection
- כָּלָהkâlâhto end, whether intransitive (to cease, be finished, perish) or transitived (to complete,
- פַּרְעֹהParʻôhParoh, a general title of Egyptian kings
- סָבִיבçâbîyb(as noun) a circle, neighbour, or environs; but chiefly (as adverb, with or without prepos
- שְׁלֹמֹהShᵉlômôhShelomah, David's successor
- בָּנָהbânâhto build (literally and figuratively)
- בַּתbatha daughter (used in the same wide sense as other terms of relationship, literally and figu
+maneno 9 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.
Marejeleo mtambuka
1Ki 9:24, 1Ki 11:1, 1Ki 6:1–7:15, 2Ch 8:11, 1Ki 9:15–19, 2Sa 5:7, 2Ch 2:1–4, Ezr 5:11


