1 Wafalme 22:39
Kuhusu matukio mengine ya utawala wa Ahabu, pamoja na yote aliyoyafanya, jumba la kifalme alilojenga na kupambwa kwa pembe za ndovu, nayo miji aliyoijengea ngome, je, hayakuandikwa katika kitabu cha kumbukumbu za wafalme wa Israeli?1 Wafalme 22:39 katika ulimwengu halisi
Nani
Kwa maneno gani
- שֵׁןshêna tooth (as sharp); specifically ivory; figuratively, a cliff
- אַחְאָבʼAchʼâbAchab, the name of a king of Israel and of a prophet at Babylon
- יֶתֶרyetherproperly, an overhanging, i.e. (by implication) an excess, superiority, remainder; also a
- סֵפֶרçêpherproperly, writing (the art or a document); by implication, a book
- כָּתַבkâthabto grave, by implication, to write (describe, inscribe, prescribe, subscribe)
- בָּנָהbânâhto build (literally and figuratively)
- עִירʻîyra city (a place guarded by waking or a watch) in the widest sense (even of a mere encampme
- דָּבָרdâbâra word; by implication, a matter (as spoken of) or thing; adverbially, a cause
+maneno 5 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.
Kilichobaki
- Jiwe la Kurkh — Ahabu kwenye Karkari, 853 KKAmetajwa nje ya BibliaAhabu mfalme wa Israeli alikuwa nguvu halisi katika eneo hilo mwaka 853 KK, tarehe iliyowekwa kwa mwaka kamili na orodha ya majina ya miaka ya Ashuru.