1 Wafalme 2:5
“Sasa wewe mwenyewe unafahamu lile Yoabu mwana wa Seruya alilonitendea, lile alilofanya kwa majemadari wawili wa majeshi ya Israeli, Abneri mwana wa Neri, na Amasa mwana wa Yetheri. Aliwaua, akimwaga damu yao wakati wa amani kama vile ni kwenye vita, tena akaipaka damu ile kwenye mkanda uliokuwa kiunoni mwake na viatu alivyovaa miguuni mwake.Mstari huu katika ulimwengu halisi
Kwa maneno gani
- חֲגוֹרchăgôwra belt (for the waist)
- יֶתֶרYetherJether, the name of five or six Israelites and of one Midianite
- עֲמָשָׂאʻĂmâsâʼAmasa, the name of two Israelites
- נֵרNêrNer, an Israelite
- נַעַלnaʻalproperly, a sandal tongue; by extension a sandal or slipper (sometimes as a symbol of occu
- צְרוּיָהTsᵉrûwyâhTserujah, an Israelitess
- מֹתֶןmôthenproperly, the waist or small of the back; only in plural the loins
- אַבְנֵרʼAbnêrAbner, an Israelite
+maneno 15 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.