1 Wafalme 2:32
Mwenyezi Mungu atamlipiza kwa ajili ya damu aliyoimwaga, kwa sababu pasipo Daudi baba yangu kujua, aliwashambulia watu wawili na kuwaua kwa upanga. Wote wawili, Abneri mwana wa Neri, jemadari wa jeshi la Israeli, na Amasa mwana wa Yetheri, jemadari wa jeshi la Yuda, walikuwa watu wazuri na wanyofu kuliko yeye.Mstari huu katika ulimwengu halisi
Lini
Kwa maneno gani
- יֶתֶרYetherJether, the name of five or six Israelites and of one Midianite
- עֲמָשָׂאʻĂmâsâʼAmasa, the name of two Israelites
- נֵרNêrNer, an Israelite
- פָּגַעpâgaʻto impinge, by accident or violence, or (figuratively) by importunity
- אַבְנֵרʼAbnêrAbner, an Israelite
- הָרַגhâragto smite with deadly intent
- צַדִּיקtsaddîyqjust
- דָּםdâmblood (as that which when shed causes death) of man or an animal; by analogy, the juice of
+maneno 15 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.
Marejeleo mtambuka
Jdg 9:24, 2Ch 21:13, Jdg 9:57, Psa 7:16, 2Sa 20:9–10, 1Ki 2:5, 2Sa 3:26–27, 1Ki 2:44