MEGA.Bible Tafuta
Kiswahili

1 Mambo Ya Nyakati 5:26

Kwa hiyo Mungu wa Israeli akaiamsha roho ya Pulu, mfalme wa Ashuru (ambaye pia alijulikana kama Tiglath-Pileseri), ambaye aliwachukua Wareubeni, Wagadi na nusu ya kabila la Manase kwenda uhamishoni. Akawapeleka huko Hala, Habori, Hara na mto Gozani, ambako wamekaa hadi leo.

Soma katika muktadha

1 Mambo Ya Nyakati 5:26 katika ulimwengu halisi

Pachika mstari huu

Nakili HTML hii kwenye tovuti yako — matumizi huru, bila funguo, bila kufuatiliwa. Ongeza ?theme=light au ?theme=dark kwenye anwani ili ilingane na ukurasa wako.

<iframe src="https://mega.bible/embed/verse/biblia-takatifu/1ch/5/26" width="100%" height="180" style="border:0" loading="lazy" title="1 Mambo Ya Nyakati 5:26 — MEGA.Bible"></iframe>