1 Mambo Ya Nyakati 4:10
Yabesi akamlilia Mungu wa Israeli akisema, “Ee Mungu, laiti ungenibariki kweli na kuipanua mipaka yangu! Mkono wako na uwe pamoja nami, uniepushe na uovu ili nisidhurike!” Naye Mungu akamjalia hayo aliyoyaomba.Mstari huu katika ulimwengu halisi
Kwa maneno gani
- יַעְבֵּץYaʻbêtsJabets, the name of an Israelite, and also of a place in Palestine
- עָצַבʻâtsabproperly, to carve, i.e. fabricate or fashion; hence (in a bad sense) to worry, pain or an
- אִםʼimused very widely as demonstrative, lo!; interrogative, whether?; or conditional, if, altho
- שָׁאַלshâʼalto inquire; by implication, to request; by extension, to demand
- גְּבוּלgᵉbûwlproperly, a cord (as twisted), i.e. (by implication) a boundary; by extension the territor
- רָבָהrâbâhto increase (in whatever respect)
- בָרַךְbârakto kneel; by implication to bless God (as an act of adoration), and (vice-versa) man (as a
- רַעraʻbad or (as noun) evil (natural or moral)
+maneno 7 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.
Marejeleo mtambuka
Mat 7:7–11, Psa 116:1–4, Pro 10:22, Jer 33:3, Isa 41:10, Eph 3:20, 2Ti 4:18, Psa 119:173