1 Mambo Ya Nyakati 27:25
Azmawethi mwana wa Adieli ndiye alikuwa msimamizi wa hazina za mfalme. Msimamizi wa hazina katika mashamba, miji, vijiji na kwenye ngome alikuwa Yonathani mwana wa Uzia.1 Mambo Ya Nyakati 27:25 katika ulimwengu halisi
Kwa maneno gani
- כָּפָרkâphâra village (as protected by walls)
- עֲדִיאֵלʻĂdîyʼêlAdiel, the name of three Israelites
- עַזְמָוֶתʻAzmâvethAzmaveth, the name of three Israelites and of a place in Palestine
- עֻזִּיָּהʻUzzîyâhUzzijah, the name of five Israelites
- מִגְדָּלmigdâla tower (from its size or height); by analogy, a rostrum; figuratively, a (pyramidal) bed
- אוֹצָרʼôwtsâra depository
- יְהוֹנָתָןYᵉhôwnâthânJehonathan, the name of four Israelites
- שָׂדֶהsâdeha field (as flat)
+maneno 3 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.