MEGA.Bible Tafuta
Kiswahili

1 Mambo Ya Nyakati 27:24

Yoabu mwana wa Seruya alianza kuwahesabu watu lakini hakumaliza. Kwa sababu ya kuwahesabu watu, hasira ya Mungu iliwaka juu ya Israeli, nayo hiyo hesabu yao haikuingizwa katika kitabu cha kumbukumbu za Mfalme Daudi.

Soma katika muktadha

1 Mambo Ya Nyakati 27:24 katika ulimwengu halisi

Marejeleo mtambuka

1Ch 21:1–17, 2Sa 24:1–15

Pachika mstari huu

Nakili HTML hii kwenye tovuti yako — matumizi huru, bila funguo, bila kufuatiliwa. Ongeza ?theme=light au ?theme=dark kwenye anwani ili ilingane na ukurasa wako.

<iframe src="https://mega.bible/embed/verse/biblia-takatifu/1ch/27/24" width="100%" height="180" style="border:0" loading="lazy" title="1 Mambo Ya Nyakati 27:24 — MEGA.Bible"></iframe>