“Hili ndilo asemalo Mwenyezi Mungu: “ ‘Nitarudisha baraka za mahema ya Yakobo, na kuhurumia maskani zake. Mji utajengwa tena juu ya magofu yake, nalo jumba la kifalme litasimama mahali pake halisi.
Скопируйте этот HTML на свой сайт — свободное использование, без ключей, без слежки. Добавьте ?theme=light или ?theme=dark к адресу, чтобы подошло к вашей странице.