MEGA.Bible Поиск
Русский

2 Samweli 20:3

Daudi aliporudi katika jumba lake la kifalme huko Yerusalemu, aliwachukua wale masuria kumi aliokuwa amewaacha ili kutunza jumba la kifalme, na kuwaweka ndani ya nyumba chini ya ulinzi. Akawapa mahitaji yao lakini hakukutana nao kimwili. Waliwekwa kifungoni wakaishi kama wajane hadi kifo chao.

Читать в контексте

Встроить этот стих

Скопируйте этот HTML на свой сайт — свободное использование, без ключей, без слежки. Добавьте ?theme=light или ?theme=dark к адресу, чтобы подошло к вашей странице.

<iframe src="https://mega.bible/embed/verse/biblia-takatifu/2sa/20/3" width="100%" height="180" style="border:0" loading="lazy" title="2 Samweli 20:3 — MEGA.Bible"></iframe>