Daudi alipofika kwenye kilele cha mlima, mahali watu walikuwa wamezoea kumwabudu Mungu, Hushai Mwarki alikuwako kumlaki, akiwa amerarua joho lake, na akiwa na mavumbi kichwani.
Скопируйте этот HTML на свой сайт — свободное использование, без ключей, без слежки. Добавьте ?theme=light или ?theme=dark к адресу, чтобы подошло к вашей странице.