Konania na nduguze wawili, Shemaya na Nethaneli, pamoja na Hashabia, Yeieli na Yozabadi waliokuwa viongozi wa Walawi, nao pia wakawapa Walawi wana-kondoo na wana-mbuzi elfu tano, na mafahali mia tano, kwa ajili ya sadaka za Pasaka.
Скопируйте этот HTML на свой сайт — свободное использование, без ключей, без слежки. Добавьте ?theme=light или ?theme=dark к адресу, чтобы подошло к вашей странице.
<iframe src="https://mega.bible/embed/verse/biblia-takatifu/2ch/35/9" width="100%" height="180" style="border:0" loading="lazy" title="2 Mambo Ya Nyakati 35:9 — MEGA.Bible"></iframe>