Katika kila kitu alichofanya katika huduma kwenye Hekalu la Mungu na katika kutii sheria na amri, alimtafuta Mungu wake na kufanya kazi kwa moyo wake wote. Naye hivyo akafanikiwa.
Скопируйте этот HTML на свой сайт — свободное использование, без ключей, без слежки. Добавьте ?theme=light или ?theme=dark к адресу, чтобы подошло к вашей странице.
<iframe src="https://mega.bible/embed/verse/biblia-takatifu/2ch/31/21" width="100%" height="180" style="border:0" loading="lazy" title="2 Mambo Ya Nyakati 31:21 — MEGA.Bible"></iframe>