MEGA.Bible Поиск
Русский

2 Mambo Ya Nyakati 31:1

Baada ya mambo haya yote kumalizika, Waisraeli ambao walikuwa huko wakaenda kwenye miji ya Yuda, wakayavunja yale mawe ya kuabudia na kuzikatakata zile nguzo za Ashera. Wakabomoa mahali pa juu pa kuabudia pamoja na madhabahu zake kila mahali katika Yuda na Benyamini, na katika Efraimu na Manase. Baada ya kuviharibu hivi vyote, Waisraeli wakarudi miji yao wenyewe na kwenye milki zao.

Читать в контексте

Встроить этот стих

Скопируйте этот HTML на свой сайт — свободное использование, без ключей, без слежки. Добавьте ?theme=light или ?theme=dark к адресу, чтобы подошло к вашей странице.

<iframe src="https://mega.bible/embed/verse/biblia-takatifu/2ch/31/1" width="100%" height="180" style="border:0" loading="lazy" title="2 Mambo Ya Nyakati 31:1 — MEGA.Bible"></iframe>