Waisraeli wakawachukua mateka kutoka ndugu zao, watu wapatao elfu mia mbili, wakiwa wanawake, pamoja na watoto wa kiume na wa kike. Wakachukua pia kiasi kikubwa cha nyara, ambazo walirudi nazo Samaria.
Скопируйте этот HTML на свой сайт — свободное использование, без ключей, без слежки. Добавьте ?theme=light или ?theme=dark к адресу, чтобы подошло к вашей странице.
<iframe src="https://mega.bible/embed/verse/biblia-takatifu/2ch/28/8" width="100%" height="180" style="border:0" loading="lazy" title="2 Mambo Ya Nyakati 28:8 — MEGA.Bible"></iframe>