MEGA.Bible Поиск
Русский

2 Mambo Ya Nyakati 23:13

Akaangalia, na tazama, mfalme alikuwa amesimama karibu na nguzo yake kwenye ingilio. Maafisa na wapiga tarumbeta walikuwa kando ya mfalme, nao watu wote wa nchi walikuwa wanashangilia na kupiga tarumbeta, na waimbaji waliokuwa na vyombo vya uimbaji walikuwa wakiongoza nyimbo za sifa. Ndipo Athalia akararua mavazi yake na kulia, “Uhaini! Uhaini!”

Читать в контексте

Встроить этот стих

Скопируйте этот HTML на свой сайт — свободное использование, без ключей, без слежки. Добавьте ?theme=light или ?theme=dark к адресу, чтобы подошло к вашей странице.

<iframe src="https://mega.bible/embed/verse/biblia-takatifu/2ch/23/13" width="100%" height="180" style="border:0" loading="lazy" title="2 Mambo Ya Nyakati 23:13 — MEGA.Bible"></iframe>