Kwa habari ya matukio katika utawala wa Rehoboamu, kuanzia mwanzo hadi mwisho, je, hayakuandikwa katika kumbukumbu za nabii Shemaya na mwonaji Ido zinazohusiana na vizazi? Kulikuwa na vita vya mara kwa mara kati ya Rehoboamu na Yeroboamu.
Скопируйте этот HTML на свой сайт — свободное использование, без ключей, без слежки. Добавьте ?theme=light или ?theme=dark к адресу, чтобы подошло к вашей странице.
<iframe src="https://mega.bible/embed/verse/biblia-takatifu/2ch/12/15" width="100%" height="180" style="border:0" loading="lazy" title="2 Mambo Ya Nyakati 12:15 — MEGA.Bible"></iframe>