Wana wa Yuda walikuwa: Eri, Onani na Shela. Hawa watatu walizaliwa kwake na mkewe Mkanaani, binti Shua. (Eri, mzaliwa wa kwanza wa Yuda, alikuwa mwovu machoni pa Mwenyezi Mungu, kwa hiyo Mwenyezi Mungu alimuua.)
Скопируйте этот HTML на свой сайт — свободное использование, без ключей, без слежки. Добавьте ?theme=light или ?theme=dark к адресу, чтобы подошло к вашей странице.
<iframe src="https://mega.bible/embed/verse/biblia-takatifu/1ch/2/3" width="100%" height="180" style="border:0" loading="lazy" title="1 Mambo Ya Nyakati 2:3 — MEGA.Bible"></iframe>