Waamuzi 14:3
Baba yake na mama yake wakamjibu, “Je, hakuna mwanamke miongoni mwa jamaa yako au miongoni mwa watu wetu wote, hata ulazimike kwenda kujitwalia mke kutoka kwa hao Wafilisti wasiotahiriwa?” Lakini Samsoni akamwambia baba yake, “Nipatieni huyo kwa maana ndiye alinipendeza.”Este versículo no mundo real
Quem
Em que palavras
- יָשַׁרyâsharto be straight or even; figuratively, to be (causatively, to make) right, pleasant, prospe
- אַיִןʼayina non-entity; generally used as a negative particle
- עָרֵלʻârêluncircumcised (i.e. still having the prepuce uncurtailed)
- שִׁמְשׁוֹןShimshôwnShimshon, an Israelite
- אֵםʼêma mother (as the bond of the family); in a wide sense (both literally and figuratively (li
- פְּלִשְׁתִּיPᵉlishtîya Pelishtite or inhabitant of Pelesheth
- הָלַךְhâlakto walk (in a great variety of applications, literally and figuratively)
- בַּתbatha daughter (used in the same wide sense as other terms of relationship, literally and figu
+6 outras palavras neste versículo
As palavras hebraicas e gregas por trás deste versículo. A correspondência palavra por palavra virá com a interlinear.