MEGA.Bible Tafuta
Kiswahili

Waamuzi 14:3

Baba yake na mama yake wakamjibu, “Je, hakuna mwanamke miongoni mwa jamaa yako au miongoni mwa watu wetu wote, hata ulazimike kwenda kujitwalia mke kutoka kwa hao Wafilisti wasiotahiriwa?” Lakini Samsoni akamwambia baba yake, “Nipatieni huyo kwa maana ndiye alinipendeza.”

Soma katika muktadha

Waamuzi 14:3 katika ulimwengu halisi

Nani

Samson

Pachika mstari huu

Nakili HTML hii kwenye tovuti yako — matumizi huru, bila funguo, bila kufuatiliwa. Ongeza ?theme=light au ?theme=dark kwenye anwani ili ilingane na ukurasa wako.

<iframe src="https://mega.bible/embed/verse/biblia-takatifu/jdg/14/3" width="100%" height="180" style="border:0" loading="lazy" title="Waamuzi 14:3 — MEGA.Bible"></iframe>