Mfalme na Yehoyada wakawapa wale watu waliofanya kazi iliyotakiwa katika Hekalu la Mwenyezi Mungu. Wakawaajiri waashi na maseremala ili kutengeneza Hekalu la Mwenyezi Mungu, pia wafanyakazi za chuma na shaba ili kukarabati Hekalu la Mwenyezi Mungu.
Copie este HTML para o seu site — uso livre, sem chaves, sem rastreamento. Acrescente ?theme=light ou ?theme=dark ao endereço para combinar com a sua página.
<iframe src="https://mega.bible/embed/verse/biblia-takatifu/2ch/24/12" width="100%" height="180" style="border:0" loading="lazy" title="2 Mambo Ya Nyakati 24:12 — MEGA.Bible"></iframe>