Sema, “Hili ndilo asemalo Mwenyezi Mungu: “ ‘Mizoga ya watu italala kama kinyesi katika mashamba, kama malundo ya nafaka nyuma ya mvunaji, wala hakuna atakayeikusanya.’ ”
Copiez ce HTML sur votre site — libre d'utilisation, sans clé, sans pistage. Ajoutez ?theme=light ou ?theme=dark à l'adresse pour l'accorder à votre page.