Mwangamizi atakuja dhidi ya Babeli; mashujaa wake watakamatwa, nazo pinde zao zitavunjwa. Kwa kuwa Mwenyezi Mungu ni Mungu wa kisasi, yeye atalipiza kikamilifu.
Copiez ce HTML sur votre site — libre d'utilisation, sans clé, sans pistage. Ajoutez ?theme=light ou ?theme=dark à l'adresse pour l'accorder à votre page.