Basi wewe nenda katika nyumba ya Mwenyezi Mungu siku ya kufunga, uwasomee watu maneno ya Mwenyezi Mungu kutoka kitabu hiki yale uliyoyaandika kutoka kinywani mwangu. Wasomee watu wote wa Yuda waliofika kutoka miji yao.
Copiez ce HTML sur votre site — libre d'utilisation, sans clé, sans pistage. Ajoutez ?theme=light ou ?theme=dark à l'adresse pour l'accorder à votre page.