MEGA.Bible Rechercher
Français

2 Samweli 20:21

Hivyo sivyo ilivyo. Mtu mmoja jina lake Sheba mwana wa Bikri, kutoka nchi ya vilima ya Efraimu, ameinua mkono wake dhidi ya mfalme, dhidi ya Daudi. Mkabidhini mtu huyu mmoja kwangu, nami nitajiondoa katika mji huu.” Huyu mwanamke akamwambia Yoabu, “Kichwa chake mtatupiwa kupitia juu ya ukuta.”

Lire dans le contexte

Intégrer ce verset

Copiez ce HTML sur votre site — libre d'utilisation, sans clé, sans pistage. Ajoutez ?theme=light ou ?theme=dark à l'adresse pour l'accorder à votre page.

<iframe src="https://mega.bible/embed/verse/biblia-takatifu/2sa/20/21" width="100%" height="180" style="border:0" loading="lazy" title="2 Samweli 20:21 — MEGA.Bible"></iframe>