MEGA.Bible Rechercher
Français

2 Mambo Ya Nyakati 8:18

Naye Hiramu alimpelekea meli zilizoongozwa na maafisa wake mwenyewe, watu waliokuwa na ujuzi wa baharini. Hawa watu pamoja na wale wa Sulemani wakasafiri kwa bahari hadi Ofiri, wakaleta kutoka huko talanta mia nne na hamsini za dhahabu, ambazo walimkabidhi Mfalme Sulemani.

Lire dans le contexte

Intégrer ce verset

Copiez ce HTML sur votre site — libre d'utilisation, sans clé, sans pistage. Ajoutez ?theme=light ou ?theme=dark à l'adresse pour l'accorder à votre page.

<iframe src="https://mega.bible/embed/verse/biblia-takatifu/2ch/8/18" width="100%" height="180" style="border:0" loading="lazy" title="2 Mambo Ya Nyakati 8:18 — MEGA.Bible"></iframe>