MEGA.Bible Rechercher
Français

2 Mambo Ya Nyakati 35:18

Kulikuwa hakujafanyika Pasaka kama hii katika Israeli tangu siku za nabii Samweli wala hakukuwa na mfalme yeyote wa Israeli ambaye kamwe alishaadhimisha Pasaka kama ile aliyofanya Mfalme Yosia, akiwa na makuhani, Walawi, na watu wote wa Yuda na wa Israeli waliokuwa huko, pamoja na wakaaji wa Yerusalemu.

Lire dans le contexte

Intégrer ce verset

Copiez ce HTML sur votre site — libre d'utilisation, sans clé, sans pistage. Ajoutez ?theme=light ou ?theme=dark à l'adresse pour l'accorder à votre page.

<iframe src="https://mega.bible/embed/verse/biblia-takatifu/2ch/35/18" width="100%" height="180" style="border:0" loading="lazy" title="2 Mambo Ya Nyakati 35:18 — MEGA.Bible"></iframe>