Akawatoa kafara watoto wake kwa kuwapitishia motoni katika Bonde la Ben-Hinomu; akafanya ulozi, uaguzi, na uchawi, akatafuta ushauri kwa wenye pepo wa utambuzi na wenye kuwasiliana na mizimu. Akafanya maovu mengi machoni pa Mwenyezi Mungu, akaichochea hasira yake.
Copiez ce HTML sur votre site — libre d'utilisation, sans clé, sans pistage. Ajoutez ?theme=light ou ?theme=dark à l'adresse pour l'accorder à votre page.
<iframe src="https://mega.bible/embed/verse/biblia-takatifu/2ch/33/6" width="100%" height="180" style="border:0" loading="lazy" title="2 Mambo Ya Nyakati 33:6 — MEGA.Bible"></iframe>