Akafanya yaliyo mema machoni pa Mwenyezi Mungu kama Uzia baba yake alivyokuwa amefanya, lakini tofauti na yeye, hakuingilia huduma za hekaluni mwa Mwenyezi Mungu. Lakini hata hivyo, watu wakaendelea na desturi zao mbaya.
Copiez ce HTML sur votre site — libre d'utilisation, sans clé, sans pistage. Ajoutez ?theme=light ou ?theme=dark à l'adresse pour l'accorder à votre page.
<iframe src="https://mega.bible/embed/verse/biblia-takatifu/2ch/27/2" width="100%" height="180" style="border:0" loading="lazy" title="2 Mambo Ya Nyakati 27:2 — MEGA.Bible"></iframe>