Nao wakamzika katika kaburi lile alilokuwa amejichongea katika Mji wa Daudi. Wakamzika kwa jeneza lililowekwa vikolezo na mchanganyiko wa manukato ya aina mbalimbali yaliyotengenezwa kwa utaalamu wa mtengeneza marashi, nao wakawasha moto mkubwa kwa heshima yake.
Copiez ce HTML sur votre site — libre d'utilisation, sans clé, sans pistage. Ajoutez ?theme=light ou ?theme=dark à l'adresse pour l'accorder à votre page.
<iframe src="https://mega.bible/embed/verse/biblia-takatifu/2ch/16/14" width="100%" height="180" style="border:0" loading="lazy" title="2 Mambo Ya Nyakati 16:14 — MEGA.Bible"></iframe>