MEGA.Bible Rechercher
Français

1 Mambo Ya Nyakati 21:15

Mungu akapeleka malaika kuangamiza Yerusalemu. Lakini malaika alipokuwa akifanya hivyo, Mwenyezi Mungu akaona na akahuzunika kwa sababu ya maafa, akamwambia yule malaika aliyekuwa anaangamiza watu, “Yatosha! Rudisha mkono wako.” Wakati huo malaika wa Mwenyezi Mungu alikuwa amesimama katika sakafu ya kupuria nafaka ya Arauna Myebusi.

Lire dans le contexte

Intégrer ce verset

Copiez ce HTML sur votre site — libre d'utilisation, sans clé, sans pistage. Ajoutez ?theme=light ou ?theme=dark à l'adresse pour l'accorder à votre page.

<iframe src="https://mega.bible/embed/verse/biblia-takatifu/1ch/21/15" width="100%" height="180" style="border:0" loading="lazy" title="1 Mambo Ya Nyakati 21:15 — MEGA.Bible"></iframe>