MEGA.Bible Buscar
Español

2 Mambo Ya Nyakati 31:1

Baada ya mambo haya yote kumalizika, Waisraeli ambao walikuwa huko wakaenda kwenye miji ya Yuda, wakayavunja yale mawe ya kuabudia na kuzikatakata zile nguzo za Ashera. Wakabomoa mahali pa juu pa kuabudia pamoja na madhabahu zake kila mahali katika Yuda na Benyamini, na katika Efraimu na Manase. Baada ya kuviharibu hivi vyote, Waisraeli wakarudi miji yao wenyewe na kwenye milki zao.

Leer en su contexto

Insertar este versículo

Copia este HTML en tu sitio — de uso libre, sin claves, sin rastreo. Añade ?theme=light o ?theme=dark a la dirección para que combine con tu página.

<iframe src="https://mega.bible/embed/verse/biblia-takatifu/2ch/31/1" width="100%" height="180" style="border:0" loading="lazy" title="2 Mambo Ya Nyakati 31:1 — MEGA.Bible"></iframe>