MEGA.Bible Buscar
Español

2 Mambo Ya Nyakati 24:14

Walipokamilisha kazi hiyo ya kukarabati, wakaleta fedha zilizobaki wakampa mfalme na Yehoyada, nao kwa hizo wakatengeneza vyombo kwa ajili ya Hekalu la Mwenyezi Mungu: Vyombo kwa ajili ya huduma na kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa, pia mabakuli na vitu vingine vya dhahabu na fedha. Wakati wote Yehoyada akiwa hai, sadaka za kuteketezwa zilitolewa wakati wote katika Hekalu la Mwenyezi Mungu.

Leer en su contexto

Insertar este versículo

Copia este HTML en tu sitio — de uso libre, sin claves, sin rastreo. Añade ?theme=light o ?theme=dark a la dirección para que combine con tu página.

<iframe src="https://mega.bible/embed/verse/biblia-takatifu/2ch/24/14" width="100%" height="180" style="border:0" loading="lazy" title="2 Mambo Ya Nyakati 24:14 — MEGA.Bible"></iframe>