MEGA.Bible Buscar
Español

2 Mambo Ya Nyakati 23:13

Akaangalia, na tazama, mfalme alikuwa amesimama karibu na nguzo yake kwenye ingilio. Maafisa na wapiga tarumbeta walikuwa kando ya mfalme, nao watu wote wa nchi walikuwa wanashangilia na kupiga tarumbeta, na waimbaji waliokuwa na vyombo vya uimbaji walikuwa wakiongoza nyimbo za sifa. Ndipo Athalia akararua mavazi yake na kulia, “Uhaini! Uhaini!”

Leer en su contexto

Insertar este versículo

Copia este HTML en tu sitio — de uso libre, sin claves, sin rastreo. Añade ?theme=light o ?theme=dark a la dirección para que combine con tu página.

<iframe src="https://mega.bible/embed/verse/biblia-takatifu/2ch/23/13" width="100%" height="180" style="border:0" loading="lazy" title="2 Mambo Ya Nyakati 23:13 — MEGA.Bible"></iframe>