MEGA.Bible Buscar
Español

2 Mambo Ya Nyakati 2:4

Sasa ninakaribia kujenga Hekalu kwa ajili ya Jina la Mwenyezi Mungu, Mungu wangu, na kuliweka wakfu kwake kwa ajili ya kufukizia uvumba wenye harufu nzuri mbele zake, mahali pa kuweka mikate ya Wonesho kwa kufuata utaratibu na kwa ajili ya mahali pa kutolea sadaka za kuteketezwa kila siku asubuhi na jioni, siku za Sabato na Mwezi Mwandamo pia katika sikukuu zilizoamriwa za Mwenyezi Mungu, Mungu wetu. Hili ni agizo la kudumu kwa ajili ya Waisraeli.

Leer en su contexto

Insertar este versículo

Copia este HTML en tu sitio — de uso libre, sin claves, sin rastreo. Añade ?theme=light o ?theme=dark a la dirección para que combine con tu página.

<iframe src="https://mega.bible/embed/verse/biblia-takatifu/2ch/2/4" width="100%" height="180" style="border:0" loading="lazy" title="2 Mambo Ya Nyakati 2:4 — MEGA.Bible"></iframe>