MEGA.Bible Buscar
Español

2 Mambo Ya Nyakati 10:18

Mfalme Rehoboamu akamtuma Adoniramu aliyekuwa msimamizi wa wale waliofanya kazi ngumu kwa kulazimishwa, lakini Israeli wote wakampiga kwa mawe hadi akafa. Hata hivyo, Mfalme Rehoboamu akafanikiwa kuingia kwenye gari lake la vita, akatorokea Yerusalemu.

Leer en su contexto

Insertar este versículo

Copia este HTML en tu sitio — de uso libre, sin claves, sin rastreo. Añade ?theme=light o ?theme=dark a la dirección para que combine con tu página.

<iframe src="https://mega.bible/embed/verse/biblia-takatifu/2ch/10/18" width="100%" height="180" style="border:0" loading="lazy" title="2 Mambo Ya Nyakati 10:18 — MEGA.Bible"></iframe>