Ufunuo 17:8
Huyo mnyama ambaye ulimwona awali alikuwako, lakini sasa hayuko, naye atapanda kutoka lile Shimo na kwenda kwenye maangamizi yake. Watu wanaoishi duniani ambao majina yao hayakuandikwa kwenye kitabu cha uzima tangu kuumbwa kwa ulimwengu watastaajabu kumwona huyo mnyama, kwa maana alikuwako hapo awali, na sasa hayuko, lakini atakuwako baadaye.This verse in the real world
In what words
- καίπερkaíperand indeed, i.e. nevertheless or notwithstanding
- ἄβυσσοςábyssosdepthless, i.e. (specially) (infernal) "abyss"
- καταβολήkatabolḗa deposition, i.e. founding; figuratively, conception
- ἀπώλειαapṓleiaruin or loss (physical, spiritual or eternal)
- βιβλίονbiblíona roll
- θηρίονthēríona dangerous animal
- θαυμάζωthaumázōto wonder; by implication, to admire
- κατοικέωkatoikéōto house permanently, i.e. reside (literally or figuratively)
+20 more words in this verse
The Hebrew and Greek words standing behind this verse. Word-by-word alignment comes with the interlinear.
Cross-references
Rev 17:11, Rev 11:7, Rev 3:10, Rev 19:15–21, Rev 9:1–2, Rev 13:1–12, Rev 14:8–20, Rev 3:5