Ufunuo 17:8
Huyo mnyama ambaye ulimwona awali alikuwako, lakini sasa hayuko, naye atapanda kutoka lile Shimo na kwenda kwenye maangamizi yake. Watu wanaoishi duniani ambao majina yao hayakuandikwa kwenye kitabu cha uzima tangu kuumbwa kwa ulimwengu watastaajabu kumwona huyo mnyama, kwa maana alikuwako hapo awali, na sasa hayuko, lakini atakuwako baadaye.Mstari huu katika ulimwengu halisi
Kwa maneno gani
- καίπερkaíperand indeed, i.e. nevertheless or notwithstanding
- ἄβυσσοςábyssosdepthless, i.e. (specially) (infernal) "abyss"
- καταβολήkatabolḗa deposition, i.e. founding; figuratively, conception
- ἀπώλειαapṓleiaruin or loss (physical, spiritual or eternal)
- βιβλίονbiblíona roll
- θηρίονthēríona dangerous animal
- θαυμάζωthaumázōto wonder; by implication, to admire
- κατοικέωkatoikéōto house permanently, i.e. reside (literally or figuratively)
+maneno 20 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.
Marejeleo mtambuka
Rev 17:11, Rev 11:7, Rev 3:10, Rev 19:15–21, Rev 9:1–2, Rev 13:1–12, Rev 14:8–20, Rev 3:5