Waamuzi 13:23
Lakini mkewe akamwambia, “Ikiwa Mwenyezi Mungu alikuwa amekusudia kutuua, hangepokea sadaka ya kuteketezwa na sadaka ya unga kutoka mikononi mwetu, wala hangetuonesha mambo haya yote wala kututangazia mambo haya wakati huu.”This verse in the real world
Who
In what words
- לוּאlûwʼa conditional particle; if; by implication (interj. as a wish) would that!
- חָפֵץchâphêtsproperly, to incline to; by implication (literally but rarely) to bend; figuratively, to b
- מִנְחָהminchâha donation; euphemistically, tribute; specifically a sacrificial offering (usually bloodle
- עֹלָהʻôlâha step or (collectively, stairs, as ascending); usually a holocaust (as going up in smoke)
- עֵתʻêthtime, especially (adverb with preposition) now, when, etc.
- מוּתmûwthto die (literally or figuratively); causatively, to kill
- אִשָּׁהʼishshâha woman
- לָקַחlâqachto take (in the widest variety of applications)
+5 more words in this verse
The Hebrew and Greek words standing behind this verse. Word-by-word alignment comes with the interlinear.