MEGA.Bible Search
English

Wagalatia 2:16

bado tunajua kwamba mtu hahesabiwi haki kwa matendo ya sheria bali kupitia kwa imani katika Isa Al-Masihi. Hivyo sisi pia, tumemwamini Al-Masihi Isa ili tupate kuhesabiwa haki kupitia kwa imani katika Al-Masihi, wala si kwa matendo ya sheria, kwa sababu kwa kushika sheria hakuna hata mtu mmoja atakayehesabiwa haki.

Read in context

This verse in the real world

Embed this verse

Copy this HTML into your site — free to use, no keys, no tracking. Add ?theme=light or ?theme=dark to the address to match your page.

<iframe src="https://mega.bible/embed/verse/biblia-takatifu/gal/2/16" width="100%" height="180" style="border:0" loading="lazy" title="Wagalatia 2:16 — MEGA.Bible"></iframe>