Wagalatia 2:16
bado tunajua kwamba mtu hahesabiwi haki kwa matendo ya sheria bali kupitia kwa imani katika Isa Al-Masihi. Hivyo sisi pia, tumemwamini Al-Masihi Isa ili tupate kuhesabiwa haki kupitia kwa imani katika Al-Masihi, wala si kwa matendo ya sheria, kwa sababu kwa kushika sheria hakuna hata mtu mmoja atakayehesabiwa haki.Mstari huu katika ulimwengu halisi
Nani
Kwa maneno gani
- διότιdiótion the very account that, or inasmuch as
- δικαιόωdikaióōto render (i.e. show or regard as) just or innocent
- ἐὰν μήeàn mḗif not, i.e. unless
- σάρξsárxflesh (as stripped of the skin), i.e. (strictly) the meat of an animal (as food), or (by e
- ἡμεῖςhēmeîswe (only used when emphatic)
- νόμοςnómoslaw (through the idea of prescriptive usage), genitive case (regulation), specially, (of M
- ἔργονérgontoil (as an effort or occupation); by implication, an act
- πίστιςpístispersuasion, i.e. credence; moral conviction (of religious truth, or the truthfulness of Go
+maneno 13 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.
Marejeleo mtambuka
Php 3:9, Psa 143:2, Rom 3:19–28, 1Pe 1:18–21, Act 13:38–39, Rom 9:30, 1Pe 3:18, Gal 3:22–24