2 Samweli 19:43
Ndipo wanaume wa Israeli wakawajibu wanaume wa Yuda, “Tunayo haki mara kumi kwa mfalme; sisi tunahusika zaidi na Daudi kuliko ninyi. Kwa nini basi mnatudharau? Je, hatukuwa wa kwanza kuzungumza kuhusu kumrudisha mfalme nyumbani?” Lakini wanaume wa Yuda wakajibu kwa ukali hata kuliko wanaume wa Israeli.This verse in the real world
When
In what words
- אֲנִיʼănîyI
- קָשָׁהqâshâhproperly, to be dense, i.e. tough or severe (in various applications)
- קָלַלqâlalto be (causatively, make) light, literally (swift, small, sharp, etc.) or figuratively (ea
- עֶשֶׂרʻeserten (as an accumulation to the extent of the digits)
- רִאשׁוֹןriʼshôwnfirst, in place, time or rank (as adjective or noun)
- עָנָהʻânâhproperly, to eye or (generally) to heed, i.e. pay attention; by implication, to respond; b
- יְהוּדָהYᵉhûwdâhJehudah (or Judah), the name of five Israelites; also of the tribe descended from the firs
- דָּוִדDâvidDavid, the youngest son of Jesse
+7 more words in this verse
The Hebrew and Greek words standing behind this verse. Word-by-word alignment comes with the interlinear.
Cross-references
Gal 5:20, 2Sa 5:1, 1Ki 11:30–31, Jas 4:1–5, Jas 3:14–16, Jas 3:2–10, Jdg 8:1, Pro 15:1