2 Wafalme 7:8
Wale watu wenye ukoma walipofika mwanzoni mwa kambi, wakaingia kwenye mojawapo ya mahema. Wakala na kunywa, na kuchukua fedha, dhahabu na nguo, wakaenda kuvificha. Wakarudi na kuingia katika hema lingine, na kuchukua baadhi ya vitu kutoka ndani yake na kuvificha pia.This verse in the real world
In what words
- צָרַעtsâraʻto scourge, i.e. (intransitive and figurative) to be stricken with leprosy
- טָמַןṭâmanto hide (by covering over)
- קָצֶהqâtsehan extremity
- אַחֵרʼachêrproperly, hinder; generally, next, other, etc.
- מַחֲנֶהmachănehan encampment (of travellers or troops); hence, an army, whether literal (of soldiers) or
- שָׁתָהshâthâhto imbibe (literally or figuratively)
- בֶּגֶדbegeda covering, i.e. clothing; also treachery or pillage
- אֹהֶלʼôhela tent (as clearly conspicuous from a distance)
+8 more words in this verse
The Hebrew and Greek words standing behind this verse. Word-by-word alignment comes with the interlinear.