2 Wafalme 7:8
Wale watu wenye ukoma walipofika mwanzoni mwa kambi, wakaingia kwenye mojawapo ya mahema. Wakala na kunywa, na kuchukua fedha, dhahabu na nguo, wakaenda kuvificha. Wakarudi na kuingia katika hema lingine, na kuchukua baadhi ya vitu kutoka ndani yake na kuvificha pia.Mstari huu katika ulimwengu halisi
Kwa maneno gani
- צָרַעtsâraʻto scourge, i.e. (intransitive and figurative) to be stricken with leprosy
- טָמַןṭâmanto hide (by covering over)
- קָצֶהqâtsehan extremity
- אַחֵרʼachêrproperly, hinder; generally, next, other, etc.
- מַחֲנֶהmachănehan encampment (of travellers or troops); hence, an army, whether literal (of soldiers) or
- שָׁתָהshâthâhto imbibe (literally or figuratively)
- בֶּגֶדbegeda covering, i.e. clothing; also treachery or pillage
- אֹהֶלʼôhela tent (as clearly conspicuous from a distance)
+maneno 8 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.